11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Episode 11 January 15, 2023 00:24:30
11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Jan 15 2023 | 00:24:30

/

Show Notes

Akijielezea kama mkate wa uzima, Bwana wetu alisema, “Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu,kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yohana 6:51). Kisha aliendelea kusema, “Msipoula mwili wake Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake,hamna uzima ndani yenu.Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele;nami nitamfufua siku ya mwisho.Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu,nami ndani yake.” (Yohana 6:53-56). Waliposikia hayo, hata Yesu mwenyewe alisema, Hili ni neno gumu; nani anaweza kuielewa? Tunakula mwili wa Yesu na kunywa damu yake kwa kuamini injili ya maji na Roho. Ni wakati tunapo kula mwili wa Bwana ndipo mioyo yetu huondolewa dhambi. Kwa maneno mengine, mtu ye yote anayekula mwili wa Bwana amekuwa hana dhambi kabisa, na dhambi zote nyingi katika moyo wake zilifutwa.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 13

January 15, 2023 00:44:11
Episode Cover

13. Lazima Uhubiri Mwili na Damu ya Yesu kwa Wanafamilia Wako (Yohana 6:51-56)

Yesu alitupa uzima wa milele kwa sisi ambao ni wenye haki. Inamaanisha kwamba ametupa uzima wa kuishi milele chini ya upendo na baraka zake...

Listen

Episode 7

January 15, 2023 00:37:50
Episode Cover

7. Yesu Kristo, Aliyefanyika Mkate wa Uzima Kwetu (Yohana 6:41-51)

Katika Injili ya Yohana sura ya 6, Bwana anasema, “Mimi ni chakula cha uzima.” Watu walihisi wamekula chakula cha mwili kutoka kwa Yesu. Siku...

Listen

Episode 8

January 15, 2023 00:25:35
Episode Cover

8. Tunawezaje Kula Mwili wa Yesu? (Yohana 6:41-59)

Je! Ni nini tunapaswa kufanya kupenda majirani zetu na kuwasaidia? ingekuwa faida kwao ikiwa tutawasaidia kifedha? Ushauri wangu kwako, ndugu na dada wa imani,...

Listen