11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Episode 11 January 15, 2023 00:24:30
11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Jan 15 2023 | 00:24:30

/

Show Notes

Akijielezea kama mkate wa uzima, Bwana wetu alisema, “Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu,kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yohana 6:51). Kisha aliendelea kusema, “Msipoula mwili wake Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake,hamna uzima ndani yenu.Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele;nami nitamfufua siku ya mwisho.Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu,nami ndani yake.” (Yohana 6:53-56). Waliposikia hayo, hata Yesu mwenyewe alisema, Hili ni neno gumu; nani anaweza kuielewa? Tunakula mwili wa Yesu na kunywa damu yake kwa kuamini injili ya maji na Roho. Ni wakati tunapo kula mwili wa Bwana ndipo mioyo yetu huondolewa dhambi. Kwa maneno mengine, mtu ye yote anayekula mwili wa Bwana amekuwa hana dhambi kabisa, na dhambi zote nyingi katika moyo wake zilifutwa.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 13

January 15, 2023 00:44:11
Episode Cover

13. Lazima Uhubiri Mwili na Damu ya Yesu kwa Wanafamilia Wako (Yohana 6:51-56)

Yesu alitupa uzima wa milele kwa sisi ambao ni wenye haki. Inamaanisha kwamba ametupa uzima wa kuishi milele chini ya upendo na baraka zake...

Listen

Episode 14

January 15, 2023 00:26:05
Episode Cover

14. Kwa Namna gani Tunaishi? (Yohana 6:63-69)

Kwa nini wewe na mimi tunaishi sasa? sasa tunafanya kazi sio kwa kitu ambacho kitaangamia, lakini kwa kitu cha milele ambacho hakiangamia. Kwa maneno...

Listen

Episode 10

January 15, 2023 00:34:51
Episode Cover

10. Yesu Ametupa Uzima wa Milele Kweli! (Yohana 6:47-51)

Halafu, kwa kufanya nini tunaweza kuwa viumbe ambao hawafi? Hatujapata uzima wa milele sio kwa kujitakasa sisi wenyewe au kwa kupata uwezo fulani. Tumekuja...

Listen