11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Episode 11 January 15, 2023 00:24:30
11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Jan 15 2023 | 00:24:30

/

Show Notes

Akijielezea kama mkate wa uzima, Bwana wetu alisema, “Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu,kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yohana 6:51). Kisha aliendelea kusema, “Msipoula mwili wake Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake,hamna uzima ndani yenu.Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele;nami nitamfufua siku ya mwisho.Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu,nami ndani yake.” (Yohana 6:53-56). Waliposikia hayo, hata Yesu mwenyewe alisema, Hili ni neno gumu; nani anaweza kuielewa? Tunakula mwili wa Yesu na kunywa damu yake kwa kuamini injili ya maji na Roho. Ni wakati tunapo kula mwili wa Bwana ndipo mioyo yetu huondolewa dhambi. Kwa maneno mengine, mtu ye yote anayekula mwili wa Bwana amekuwa hana dhambi kabisa, na dhambi zote nyingi katika moyo wake zilifutwa.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 2

January 15, 2023 00:39:31
Episode Cover

2. Kumwani yeye Aliyeteuliwa na Mungu ni Kazi ya Mungu (Yohana 6:16-29)

Salamu kwa ndugu na dada zangu wote! Ninamshukuru sana Mungu kwa kuwa tunaweza kumwabudu katika siku hii nzuri ya chemchemi, wakati uzuri wake unadhihirishwa...

Listen

Episode 3

January 15, 2023 00:42:16
Episode Cover

3. Tufanyie Kazi Chakula Ambacho Kinadumu kwa Uhai Udumuo Milele (Yohana 6:16-40)

Leo, napenda kuongea nawe juu ya mkate wa uzima uliotajwa katika Yohana 6: 16-40. Iliandikwa kabla ya kifungu cha leo cha Maandiko kwamba Bwana...

Listen

Episode 15

January 15, 2023 00:34:03
Episode Cover

15. Lazima Tuwe na Ufahamu Sahihi na Kweli (Yohana 6:60-71)

Yohana sura ya sita ni ngumu kueleweka kwa Wakristo leo pia. Kwa hivyo hata wachungaji hawapati mahubiri yoyote kwenye kifungu hiki. Kawaida wanatafsiri ujumbe...

Listen