10. Yesu Ametupa Uzima wa Milele Kweli! (Yohana 6:47-51)

Episode 10 January 15, 2023 00:34:51
10. Yesu Ametupa Uzima wa Milele Kweli! (Yohana 6:47-51)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
10. Yesu Ametupa Uzima wa Milele Kweli! (Yohana 6:47-51)

Jan 15 2023 | 00:34:51

/

Show Notes

Halafu, kwa kufanya nini tunaweza kuwa viumbe ambao hawafi? Hatujapata uzima wa milele sio kwa kujitakasa sisi wenyewe au kwa kupata uwezo fulani. Tumekuja kuipokea na kuifurahia kwa sababu ya Mungu Baba. Huu ni upendo wa ajabu na baraka gani hii? Kilichoshangaza ni ukweli kwamba Mungu ana hamu ya kuishi pamoja nasi milele. Kupitia Mwana wake, Yesu, Mungu amezifuta dhambi zetu zote. Sio tu kwamba ametupa msamaha wa dhambi, lakini pia, Ametupatia uzima wa milele. Kweli hii ni baraka ya ajabu. Kwa maana Mungu ametupa hii tusilotarajia, licha ya ukweli kwamba hatustahili, Ni neema ya ajabu na kubwa. Sisi ni viumbe ambavyo hazife. Sisi ni wale ambao wanayo uzima wa milele.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 5

January 15, 2023 00:38:18
Episode Cover

5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)

Wakati Yesu alipanda mlimani na kuhubiri, umati wa watu ulikuwa ukimfuata. Kisha akiweka mikono Yake juu ya chakula kidogo ambacho kilikuwa cha kutosha kwa...

Listen

Episode 15

January 15, 2023 00:34:03
Episode Cover

15. Lazima Tuwe na Ufahamu Sahihi na Kweli (Yohana 6:60-71)

Yohana sura ya sita ni ngumu kueleweka kwa Wakristo leo pia. Kwa hivyo hata wachungaji hawapati mahubiri yoyote kwenye kifungu hiki. Kawaida wanatafsiri ujumbe...

Listen

Episode 12

January 15, 2023 01:33:40
Episode Cover

12. Yesu, Ambaye Ametupa Mkate wa Uzima (Yohana 6:54-63)

Kwa kuja duniani, Bwana wetu alichukua dhambi zote za roho yangu, akazifuta zote, na akapokea hukumu kwa ajili yao. Kwa kufanya hivyo, alitufanya tuwe...

Listen