Halafu, kwa kufanya nini tunaweza kuwa viumbe ambao hawafi? Hatujapata uzima wa milele sio kwa kujitakasa sisi wenyewe au kwa kupata uwezo fulani. Tumekuja kuipokea na kuifurahia kwa sababu ya Mungu Baba. Huu ni upendo wa ajabu na baraka gani hii? Kilichoshangaza ni ukweli kwamba Mungu ana hamu ya kuishi pamoja nasi milele. Kupitia Mwana wake, Yesu, Mungu amezifuta dhambi zetu zote. Sio tu kwamba ametupa msamaha wa dhambi, lakini pia, Ametupatia uzima wa milele. Kweli hii ni baraka ya ajabu. Kwa maana Mungu ametupa hii tusilotarajia, licha ya ukweli kwamba hatustahili, Ni neema ya ajabu na kubwa. Sisi ni viumbe ambavyo hazife. Sisi ni wale ambao wanayo uzima wa milele.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Wakati Bwana wetu alipokuwa duniani, watu wa Israeli walikuwa masikini sana na hawakuwa na chakula cha kutosha kujilisha, kwani walinyonywa na Dola la Rumi...
Akijielezea kama mkate wa uzima, Bwana wetu alisema, “Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu,kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yohana 6:51). Kisha aliendelea...
Yesu alitupa uzima wa milele kwa sisi ambao ni wenye haki. Inamaanisha kwamba ametupa uzima wa kuishi milele chini ya upendo na baraka zake...