Katika Injili ya Yohana sura ya 6, Bwana anasema, “Mimi ni chakula cha uzima.” Watu walihisi wamekula chakula cha mwili kutoka kwa Yesu. Siku iliyofuata, walienda kumtafuta Yesu tena, lakini Yesu aliwaambia wasifanyie kazi chakula kinachoharibika bali chakula ambacho ni cha uzima wa milele. Na kwa hivyo, watu waliuliza, “Tufanyeje ili tupate kuzitenda kazi za Mungu?” (Yohana 6:28) Yesu akajibu, “Hii ndiyo,kazi ya Mungu,mmwamini yeye aliyetumwa na yeye.” (Yohana 6:29).
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Yohana sura ya sita ni ngumu kueleweka kwa Wakristo leo pia. Kwa hivyo hata wachungaji hawapati mahubiri yoyote kwenye kifungu hiki. Kawaida wanatafsiri ujumbe...
Yohana sura ya sita inahusu mkate wa uzima kwa ukamilifu.Imeandikwa katika kifungu cha maandiko ya leo kwamba wakati Yesu alienda upande wa pili wa...
Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya...