7. Yesu Kristo, Aliyefanyika Mkate wa Uzima Kwetu (Yohana 6:41-51)

Episode 7 January 15, 2023 00:37:50
7. Yesu Kristo, Aliyefanyika Mkate wa Uzima Kwetu (Yohana 6:41-51)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
7. Yesu Kristo, Aliyefanyika Mkate wa Uzima Kwetu (Yohana 6:41-51)

Jan 15 2023 | 00:37:50

/

Show Notes

Katika Injili ya Yohana sura ya 6, Bwana anasema, “Mimi ni chakula cha uzima.” Watu walihisi wamekula chakula cha mwili kutoka kwa Yesu. Siku iliyofuata, walienda kumtafuta Yesu tena, lakini Yesu aliwaambia wasifanyie kazi chakula kinachoharibika bali chakula ambacho ni cha uzima wa milele. Na kwa hivyo, watu waliuliza, “Tufanyeje ili tupate kuzitenda kazi za Mungu?” (Yohana 6:28) Yesu akajibu, “Hii ndiyo,kazi ya Mungu,mmwamini yeye aliyetumwa na yeye.” (Yohana 6:29).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 3

January 15, 2023 00:42:16
Episode Cover

3. Tufanyie Kazi Chakula Ambacho Kinadumu kwa Uhai Udumuo Milele (Yohana 6:16-40)

Leo, napenda kuongea nawe juu ya mkate wa uzima uliotajwa katika Yohana 6: 16-40. Iliandikwa kabla ya kifungu cha leo cha Maandiko kwamba Bwana...

Listen

Episode 9

January 15, 2023 00:40:43
Episode Cover

9. Amini Katika Yesu Aliyekuja Kutoka Mbinguni Kama Mwokozi Katika Moyo Wako (Yohana 6:41-51)

Katika kifungu cha maandiko ya leo, Bwana wetu alisema kwamba alishuka kutoka Mbingu. ilikuwa ni kutupatia uzima wa milele Bwana alishuka kutoka Mbingu. Alikuja...

Listen

Episode 5

January 15, 2023 00:38:18
Episode Cover

5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)

Wakati Yesu alipanda mlimani na kuhubiri, umati wa watu ulikuwa ukimfuata. Kisha akiweka mikono Yake juu ya chakula kidogo ambacho kilikuwa cha kutosha kwa...

Listen