4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Episode 4 January 15, 2023 00:38:18
4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Jan 15 2023 | 00:38:18

/

Show Notes

Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili;bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.”tena, Warumi 8: 12-14 inasema,“Basi,kama ni hivyo,ndugu,tu wadeni,si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili,mwataka kufa;bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho,mtaishi.Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu.”Bwana wetu ametuokoa kutoka kwa dhambi zetu zote.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 9

January 15, 2023 00:40:43
Episode Cover

9. Amini Katika Yesu Aliyekuja Kutoka Mbinguni Kama Mwokozi Katika Moyo Wako (Yohana 6:41-51)

Katika kifungu cha maandiko ya leo, Bwana wetu alisema kwamba alishuka kutoka Mbingu. ilikuwa ni kutupatia uzima wa milele Bwana alishuka kutoka Mbingu. Alikuja...

Listen

Episode 1

January 15, 2023 00:52:05
Episode Cover

1. Ni Matumizi Gani Haya, Mikate Kidogo na Samaki Kwa Watu wengi? (Yohana 6:1-15)

Yohana sura ya sita inahusu mkate wa uzima kwa ukamilifu.Imeandikwa katika kifungu cha maandiko ya leo kwamba wakati Yesu alienda upande wa pili wa...

Listen

Episode 15

January 15, 2023 00:34:03
Episode Cover

15. Lazima Tuwe na Ufahamu Sahihi na Kweli (Yohana 6:60-71)

Yohana sura ya sita ni ngumu kueleweka kwa Wakristo leo pia. Kwa hivyo hata wachungaji hawapati mahubiri yoyote kwenye kifungu hiki. Kawaida wanatafsiri ujumbe...

Listen