4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Episode 4 January 15, 2023 00:38:18
4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Jan 15 2023 | 00:38:18

/

Show Notes

Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili;bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.”tena, Warumi 8: 12-14 inasema,“Basi,kama ni hivyo,ndugu,tu wadeni,si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili,mwataka kufa;bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho,mtaishi.Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu.”Bwana wetu ametuokoa kutoka kwa dhambi zetu zote.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 10

January 15, 2023 00:34:51
Episode Cover

10. Yesu Ametupa Uzima wa Milele Kweli! (Yohana 6:47-51)

Halafu, kwa kufanya nini tunaweza kuwa viumbe ambao hawafi? Hatujapata uzima wa milele sio kwa kujitakasa sisi wenyewe au kwa kupata uwezo fulani. Tumekuja...

Listen

Episode 11

January 15, 2023 00:24:30
Episode Cover

11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Akijielezea kama mkate wa uzima, Bwana wetu alisema, “Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu,kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yohana 6:51). Kisha aliendelea...

Listen

Episode 5

January 15, 2023 00:38:18
Episode Cover

5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)

Wakati Yesu alipanda mlimani na kuhubiri, umati wa watu ulikuwa ukimfuata. Kisha akiweka mikono Yake juu ya chakula kidogo ambacho kilikuwa cha kutosha kwa...

Listen