4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Episode 4 January 15, 2023 00:38:18
4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Jan 15 2023 | 00:38:18

/

Show Notes

Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili;bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.”tena, Warumi 8: 12-14 inasema,“Basi,kama ni hivyo,ndugu,tu wadeni,si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili,mwataka kufa;bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho,mtaishi.Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu.”Bwana wetu ametuokoa kutoka kwa dhambi zetu zote.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 1

January 15, 2023 00:52:05
Episode Cover

1. Ni Matumizi Gani Haya, Mikate Kidogo na Samaki Kwa Watu wengi? (Yohana 6:1-15)

Yohana sura ya sita inahusu mkate wa uzima kwa ukamilifu.Imeandikwa katika kifungu cha maandiko ya leo kwamba wakati Yesu alienda upande wa pili wa...

Listen

Episode 8

January 15, 2023 00:25:35
Episode Cover

8. Tunawezaje Kula Mwili wa Yesu? (Yohana 6:41-59)

Je! Ni nini tunapaswa kufanya kupenda majirani zetu na kuwasaidia? ingekuwa faida kwao ikiwa tutawasaidia kifedha? Ushauri wangu kwako, ndugu na dada wa imani,...

Listen

Episode 6

January 15, 2023 00:48:59
Episode Cover

6. Lazima Tule Mkate Kutoka Mbinguni kwa Imani Katika Injili ya Maji na Roho (Yohana 6:28-58)

Wakati Bwana wetu alipokuwa duniani, watu wa Israeli walikuwa masikini sana na hawakuwa na chakula cha kutosha kujilisha, kwani walinyonywa na Dola la Rumi...

Listen