Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili;bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.”tena, Warumi 8: 12-14 inasema,“Basi,kama ni hivyo,ndugu,tu wadeni,si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili,mwataka kufa;bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho,mtaishi.Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu.”Bwana wetu ametuokoa kutoka kwa dhambi zetu zote.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Halafu, kwa kufanya nini tunaweza kuwa viumbe ambao hawafi? Hatujapata uzima wa milele sio kwa kujitakasa sisi wenyewe au kwa kupata uwezo fulani. Tumekuja...
Akijielezea kama mkate wa uzima, Bwana wetu alisema, “Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu,kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yohana 6:51). Kisha aliendelea...
Wakati Yesu alipanda mlimani na kuhubiri, umati wa watu ulikuwa ukimfuata. Kisha akiweka mikono Yake juu ya chakula kidogo ambacho kilikuwa cha kutosha kwa...