4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Episode 4 January 15, 2023 00:38:18
4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Jan 15 2023 | 00:38:18

/

Show Notes

Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili;bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.”tena, Warumi 8: 12-14 inasema,“Basi,kama ni hivyo,ndugu,tu wadeni,si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili,mwataka kufa;bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho,mtaishi.Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu.”Bwana wetu ametuokoa kutoka kwa dhambi zetu zote.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 6

January 15, 2023 00:48:59
Episode Cover

6. Lazima Tule Mkate Kutoka Mbinguni kwa Imani Katika Injili ya Maji na Roho (Yohana 6:28-58)

Wakati Bwana wetu alipokuwa duniani, watu wa Israeli walikuwa masikini sana na hawakuwa na chakula cha kutosha kujilisha, kwani walinyonywa na Dola la Rumi...

Listen

Episode 11

January 15, 2023 00:24:30
Episode Cover

11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Akijielezea kama mkate wa uzima, Bwana wetu alisema, “Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu,kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yohana 6:51). Kisha aliendelea...

Listen

Episode 13

January 15, 2023 00:44:11
Episode Cover

13. Lazima Uhubiri Mwili na Damu ya Yesu kwa Wanafamilia Wako (Yohana 6:51-56)

Yesu alitupa uzima wa milele kwa sisi ambao ni wenye haki. Inamaanisha kwamba ametupa uzima wa kuishi milele chini ya upendo na baraka zake...

Listen