Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili;bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.”tena, Warumi 8: 12-14 inasema,“Basi,kama ni hivyo,ndugu,tu wadeni,si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili,mwataka kufa;bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho,mtaishi.Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu.”Bwana wetu ametuokoa kutoka kwa dhambi zetu zote.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Leo, napenda kuongea nawe juu ya mkate wa uzima uliotajwa katika Yohana 6: 16-40. Iliandikwa kabla ya kifungu cha leo cha Maandiko kwamba Bwana...
Wakati Yesu alipanda mlimani na kuhubiri, umati wa watu ulikuwa ukimfuata. Kisha akiweka mikono Yake juu ya chakula kidogo ambacho kilikuwa cha kutosha kwa...
Katika kifungu cha maandiko ya leo, Bwana wetu alisema kwamba alishuka kutoka Mbingu. ilikuwa ni kutupatia uzima wa milele Bwana alishuka kutoka Mbingu. Alikuja...