5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)

Episode 5 January 15, 2023 00:38:18
5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)

Jan 15 2023 | 00:38:18

/

Show Notes

Wakati Yesu alipanda mlimani na kuhubiri, umati wa watu ulikuwa ukimfuata. Kisha akiweka mikono Yake juu ya chakula kidogo ambacho kilikuwa cha kutosha kwa chakula cha mchana moja, Yesu akabariki na akafanya muujiza wa kuwalisha watu zaidi ya 5,000 na mkate na samaki, akiacha vikapu kumi na viwili vya mabaki. Kwa hivyo watu walimfuata Yesu na wakamtaka awe Mfalme wao. Waliwaza, Je! ingekuwa heri kuwa na mfalme kama huyo? Kwa hivyo walijaribu kumfanya Bwana kuwa mfalme wao, lakini Yesu aliondoka akaenda kuvuka pwani ya bahari. Umati mkubwa ukamfuata kwa hamu ya kutaka kupata chakula kingine kutoka kwake, Yesu akawakemea, akisema, “Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika,bali chakula kidumucho hata uzima wa milele.” (Yohana 6:27).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 4

January 15, 2023 00:38:18
Episode Cover

4. Kuishi Kulingana na Roho (Yohana 6:26-40)

Kabla ya kuanza, hebu tuangalie vifungu vichache kutoka mahali pengine kwenye Bibilia. Warumi 8: 5 inasema, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya...

Listen

Episode 11

January 15, 2023 00:24:30
Episode Cover

11. Jinsi ya Kushiriki Ushirika Mtakatifu Kwa Imani Nzuri (Yohana 6:52-59)

Akijielezea kama mkate wa uzima, Bwana wetu alisema, “Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu,kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yohana 6:51). Kisha aliendelea...

Listen

Episode 9

January 15, 2023 00:40:43
Episode Cover

9. Amini Katika Yesu Aliyekuja Kutoka Mbinguni Kama Mwokozi Katika Moyo Wako (Yohana 6:41-51)

Katika kifungu cha maandiko ya leo, Bwana wetu alisema kwamba alishuka kutoka Mbingu. ilikuwa ni kutupatia uzima wa milele Bwana alishuka kutoka Mbingu. Alikuja...

Listen