5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)

Episode 5 January 15, 2023 00:38:18
5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)
Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu
5. Fanya Kazi ya Chakula Kisichoharibika Kwenye Dunia hii (Yohana 6:26-59)

Jan 15 2023 | 00:38:18

/

Show Notes

Wakati Yesu alipanda mlimani na kuhubiri, umati wa watu ulikuwa ukimfuata. Kisha akiweka mikono Yake juu ya chakula kidogo ambacho kilikuwa cha kutosha kwa chakula cha mchana moja, Yesu akabariki na akafanya muujiza wa kuwalisha watu zaidi ya 5,000 na mkate na samaki, akiacha vikapu kumi na viwili vya mabaki. Kwa hivyo watu walimfuata Yesu na wakamtaka awe Mfalme wao. Waliwaza, Je! ingekuwa heri kuwa na mfalme kama huyo? Kwa hivyo walijaribu kumfanya Bwana kuwa mfalme wao, lakini Yesu aliondoka akaenda kuvuka pwani ya bahari. Umati mkubwa ukamfuata kwa hamu ya kutaka kupata chakula kingine kutoka kwake, Yesu akawakemea, akisema, “Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika,bali chakula kidumucho hata uzima wa milele.” (Yohana 6:27).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 2

January 15, 2023 00:39:31
Episode Cover

2. Kumwani yeye Aliyeteuliwa na Mungu ni Kazi ya Mungu (Yohana 6:16-29)

Salamu kwa ndugu na dada zangu wote! Ninamshukuru sana Mungu kwa kuwa tunaweza kumwabudu katika siku hii nzuri ya chemchemi, wakati uzuri wake unadhihirishwa...

Listen

Episode 1

January 15, 2023 00:52:05
Episode Cover

1. Ni Matumizi Gani Haya, Mikate Kidogo na Samaki Kwa Watu wengi? (Yohana 6:1-15)

Yohana sura ya sita inahusu mkate wa uzima kwa ukamilifu.Imeandikwa katika kifungu cha maandiko ya leo kwamba wakati Yesu alienda upande wa pili wa...

Listen

Episode 12

January 15, 2023 01:33:40
Episode Cover

12. Yesu, Ambaye Ametupa Mkate wa Uzima (Yohana 6:54-63)

Kwa kuja duniani, Bwana wetu alichukua dhambi zote za roho yangu, akazifuta zote, na akapokea hukumu kwa ajili yao. Kwa kufanya hivyo, alitufanya tuwe...

Listen